Monday, November 10, 2014

Violet msanii mwenye sauti nyororo


Kama ungeisikia sauti ya Violet(aliyeshika microphone) akiimba moja ya wimbo wa marehem Whitney Houston ungeamini kuwa Whitney amefufuka! La hasha huyo ni Violet mtoto wa Kinyakyusa aliyekuwa akiwatumbuiza wageni waalikwa na maharusi wakati wa reception ya Bw & Bi Mpoki Mbetwa ndani ya Marantha Hall- Msimbazi jiji Dar. Msichana huyu ana kipaji kikubwa cha uimbaji nangojeea single yake ya kwanza!

No comments: