Wednesday, November 5, 2014

Parokia ya Vikindu-watoto wa utatu wanamtumikia Mungu

Kumekuwa na mabadiliko makubwa ya uendeshaji wa Litrujia katika Parokia ya Vikindu Jimbo Kuu la Dar Es Salaam. Kivutio kikubwa kimekuwa ni kwa Watoto wa Utatu Mtakatifu. Watoto hawa hucheza mbele ya Altare kwa misa zote mbili kwenye Ibada ya Dominika.

No comments: