Friday, November 7, 2014

KELVIN K.SIMKOKO-KICHWA CHA MARIAN BOYS SEC

Kelvin K.Simkoko  ametunukiwa tuzo ya kufanya vizuri katika taaluma Kidato cha 4 2014 shule ya Marian Boys'  Secondary. Hongera Kelvin ongoza hadi utakapopata PhD lakini pia usimsahau MUNGU aliyekuumba na kukupa kipaji hicho si kweli kuwa wengine hawataki kuwa vichwa MUNGU ndiye hupanga haya na kwa bidii yako pia.

No comments: