Wednesday, November 5, 2014

Nkem Owoh-Msanii machachari wa Afrika



Kwa wenye mazoea ya kuangalia sinema za Kinegeria, sura hii si ngeni kwenu. Huyu ni Nkem Owoh a.k.a asokofia. Huyu ni mcheza sinema mashuhuri kutoka Nigeria. Amecheza sinema nyingi na kutunikiwa  zawadi nyingi nyingi nyingi. Cha kushangaza Nkem  kwa taaluma ni Mhandisi. Lakini umaarufu wake haukutokana na uhandisi bali ni kwa sanaa. Mimi na wewe pengine tunafanya kazi ambazo hazitupi umaarufu au kutuongezea kipato. Pengine siyo Mungu alichotuumbia tukifanye hapa duniani.

No comments: