Friday, November 21, 2014

Tume ya Mipango inapoperemba

Ukisikia kuperemba ndiyo huku. Huwa ni wataalamu wa Tume ya Mipango wakiperemba mradi wa Maji kwenye moja ya Halmashauri nchini. Ilibidi waende mpaka juu kabisa kuhakikisha hilo tank la maji linalojengwa ili kujihakikishia ubora wa tanki hilo baadaye kuandika taarifa. Sijui wameona nini, mimi sijui.

No comments: