Tuesday, December 2, 2014

Barabara ya Dar-Mtwara lami zimebaki km 6




Ukisafiri kutoka Dar kwenda Mtwara unakanyaga lami  kwa asilimia 98. Sasa zimebaki takribani kilometa 6 kukamilika. Banzi wa Moro ameshuhudia akiwa katika safari ya kikazi mkoani Mtwara hivi karibuni. Tukiwa njiani tulishuhudia  mabus ya kisasa ya kisafiri kwenda Mtwara, Lindi,Masasi,Nachingwea, Tandahimba, Kilwa na Ruangwa. Kweli Mtwara Lindi kuchele!

No comments: