Tuesday, December 30, 2014

Harusi ya Edwin Peter Banzi







Hivi ndivyo tulivyosheherekea harusi ya Bw & Bibi Edwin Banzi, kuanzia kanisani hadi nje. Ndoa hii ilifungwa tarehe 27/12/2014 katika Kanisa la Mt. Paul, Matombo, Morogoro. Edwin ni mtoto wa baba yetu mdogo Peter Anthony Machemba. Nilibahatika kuhudhuria tukio hili. Angalia Banzi wa Moro anavyonengua kanisani.

No comments: