Wednesday, December 31, 2014

Wanarudi shuleni

Ni hekaheka kwa wazazi walezi na watoto wenyewe. Januari ni wakati wa kuanza mwaka mpya wa masomo hasa kwa shule za msingi na sekondari. Mwezi huu ukipata shida ni yako ni vigumu mtu kukuksaidia. Utasikia "nashughulikia ada ya wanangu."

No comments: