Wednesday, December 31, 2014

The Banzis walikuwa Matombo kwa Xmass

Linus Banzi (kushoto) na Renatus Banzi - wadogo zangu hawa machachari  ambao wengine wanawaita the twins (lakini si mapacha) niliwakuta Matombo wakila Xmass. Hapa wapo nyumbani kwa uncle Nestory Daulinge

No comments: