Tuesday, December 30, 2014

Mtani anapotaniwa

Aliyekaa ni mtani wetu dada wa Fransic Salehe. Ukoo wao ni wa Mgera ni watani na ukoo wa akina baba -Wambiki. Hapa mdogo wangu Tizo Banzi anamtania kuwa tutamnyonya damu! dada zetu wanaangua kicheko!

No comments: