Tuesday, December 30, 2014

Nyama tamu sana

Nilipewa nyama hii ya mfupa ambayo ni sawa na kupata vipande 10 vya nyama. Ulikuwa ni mfupa mtamu sana. Yote haya ni katika kusheherekea harusi ya Bw & Bi.Edwin Banzi wa Nige, Matombo -Morogoro siku ya tarehe 27/12/2014

No comments: