Wednesday, December 31, 2014

Mlima wa Pangawe a.k.a Ng'alo





 Mlima wa Pangawe a.k.a Ng'alo njia ya kwenda Matombo ni mlima mkali una makona machache lakini hatari. Nilipokuwa mdogo nikisafiri na mama na bibi zangu walikuwa wanauogopa sana. Gari lilipokuwa likipanda au kushuka mlima huo wote walikaa kimya kabisa na wengine wakisali. Siku hizi mlima huo umechongwa na kuwekwa lami nyepesi.


No comments: