Tuesday, December 30, 2014

Alihangaika kupata tawi la furaha



Na alipolipata kugeuka tu alikutana na Banzi wa Moro! Huyu ni dada yetu Helmina Mwenda akiwa na furaha ya mtoto wake Edwin Peter Machemba Banzi kufunga ndoa ndani ya Kanisa Katoliki la Mt. Paul, Matombo, Morogoro tarehe 27/12/2014

No comments: