Tuesday, October 18, 2011

Haya ndiyo tuliyoyaona




Leo wakati tukirudi Dar Es Salaam tukitoka Moro haya ndiyo tuliyoyaona kuhusu kilimo.Hivi vinapatikana Ruvu darajani na hulimwa katika bonde la mto Ruvu. Banzi wa Moro alinunua karoti,bilinganya na pilipili hoho. Vijana hawa wasaidiwe ili waweze kuzalisha zaidi na kupata soko la mazao yao wameonyesha kukipenda na kuthamini kilimo.

No comments: