Tuesday, October 18, 2011

Mradi wa iagri wazinduliwa

Mradi wa Miaka mitano wa 'Innovative Agricultural Research Initiative' (iAGRI)wenye lengo la kuanzisha program ya ushirikiano katika utafiti wa Kilimo kati ya Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA) na Taasisi za Utafiti wa Kilimo nchini, kutoa mafunzo ya fani ya kilimo ngazi ya shahada uzamili(MSc) na uzamivu (PhD), kujenga uweza wa SUA katika kutoa huduma za mafunzo pamoja na kukuza uhusiano kati ya SUA na Vyuo Vikuu vya Amerika ya Kaskazini (USA) na Vyuo Vikuu vilivyo kusini ya Dunia umezinduliwa rasmi jana tarehe 17/10/2011 mjini Morogoro kwa kupitisha vipaumbele vya utafiti na mafunzo kwa kuwashirikisha wawakilishi wa wadau wa Kilimo hapa nchini na mfadhili wa mradi huo USA.Makao Makuu ya Mradi yatakuwa mjini Morogoro pale SUA. Pichani Mkurugenzi wa Mradi Prof. David Kraybill akitoa mada.

No comments: