Thursday, October 20, 2011

Miaka 50 mawaziri 16 wa Kilimo


Waheshimiwa hawa 16 kwa vipindi tofauti wameiongoza wizara ya Kilimo yenye dhamana kubwa ya kuhakisha kuwa chakula kinapatikana,ajira kwa asilimia kubwa ya wananchi wake pamoja na uhakika wa kipato na uchumi wa Taifa hili la Tanzania. Kwa kipindi hicho chote Wizara imeongozwa na mwanamke mmoja!

No comments: