Thursday, October 13, 2011

Ni wakati wa kununua vigoda


Tulipokuwa tukirudi DAR, wajumbe walipata fursa ya kununua vigoda. Bei ni maelewano lakini vikubwa ni Tshs 4,000/=.(Angalizo uwe mwangalifu na aina ya mti havikawii kupekechwa na wadudu!)

No comments: