Monday, October 3, 2011

Jeneza linasubiri kuingizwa kanisani

Kanisa la mtakatifu Paul-Parokia ya Matombo, jimbo la Morogoro ndimo ilimofanyika ibada ya misa takatifu ya marehemu Jerome Hugo. Kanisa hili ndilo marehemu alilolitumikia kwa miaka mingi katika maisha yake. Amebatizwa ndani ya kanisa hili, amepata ekaristi takatifu ndani ya kanisa hili na Kipaimara pia. Amefunga ndoa yake ndani ya kanisa hili na kuagwa ndani ya kanisa hili. TUMSIFU YESU KRISTU.

No comments: