Thursday, October 13, 2011

Wajumbe wa BWKCU




Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika. Juu kabisa ni Patrick Ngwediagi (PBR) (kushoto) na Karim Mtambo (Ag.DNFS) (kulia). Inayofuata ni Bw. Semroki (CIA) ya chini yake ni Dr. Fidelis Myaka (DRD) na Bw. Geofrey Kirenga (DCD).Chini kabisa mwenye shati nyeupe ni Bw. Pyuza (Principal - KATC)

No comments: