Thursday, October 13, 2011

Ninapopewa nafasi

Wakati mwingine napewa nafasi ya kutoa mada pia. Hapa ilikuwa katika ukumbi wa Nyumbani Hotels jijini Tanga nikitoa mada ya mahusiano kazini kwenye Baraza la Wafanyakazi, Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika mwezi Septemba 2011.

No comments: