Tuesday, October 18, 2011

Neno kutoka Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika.

Washiriki kutoka Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika katika uzinduzi wa Mradi wa iAGRI waliongozwa na Dr. Fidelis Myaka (Mkurugenzi wa Utafiti na Maendeleo)kwa niaba ya Katibu Mkuu. Pichani Dr.Myaka akitoa ujumbe wa Wizara.

No comments: