Tuesday, October 18, 2011

N je ya Ukumbi

Nje ya ukumbi baada ya miaka 31 nakutana na moja ya vichwa vya 'Tosamaganga High School' Peter Gillah. Sasa hivi ni Professor kwenye masuala ya misitu lakini pia ni Deputy Vice Chancellor-Academics wa Sokoine University of Agriculture. Tulikumbushana mambo mengi sana ya Tosa. Prof.Gillah ni yule yule mcheshi,wa kawaida kabisa lakini amebeba dhamana kubwa ya elimu katika nchi yetu ya Tanzania. Hongera sana Gillah. Mimi najivunia sana matunda ya Tosa.Furaha iliyoje kukutana tena!

No comments: