Wednesday, October 19, 2011

Milima ya Uluguru

Milima ya Uluguru inapendeza.Ndiyo.Milima ya Uluguru kuna vyanzo vingi vya mali ya asiliikiwemo misitu, vyanzo vya maji na madini pia. Tatizo ni kwamba bado hatujakuwa makini kwa kuwa na programu zitakazoleta tija kwa sekta nilizozitaja. Hivi sasa mji wa Morogoro una matatizo ya maji, hivi sasa si rahisi kupata mbao nzuri kutoka Morogoro.Misitu imefyekwa!Sote tuamke tuanze kuandaa programu endelevu za milima ya Uluguru.

No comments: