Friday, October 21, 2011

Wachina nao


Tarehe 19/10/2011 ujumbe mzito kutoka Akademia ya Sayansi ya Kilimo ya China (CAAS)ilitembelea Makao Makuu ya Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika, Dar Es Salaam na kfanya mazungumzo na watendaji wakuu wa Wizara jinsi ya kuanzisha mashirikiano katika sayansi ya kilimo kwa lengo la kuboresha kilimo hapa nchini hasa kwa upande wa Utafiti wa Kilimo. Pichani wataalamu hao wakiwa katika mazungumzo na wataalamu wetu.

No comments: