Thursday, October 11, 2012

Askofu Peter Mwamasika akipambana na UKIMWI

Kamishna wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI Askofu Dr. Peter Lukumbusho Mwamasika akisisitiza jambo kwa washiriki wa semina ya viongozi wa dini dhidi ya ugonjwa hatari wa UKIMWI iliyofanyika jijini Arsuha hivi karibuni (Picha na maelezo- Bw. Livingstone Mwedipando wa ARI-Selian, Arusha)

No comments: