Wednesday, October 31, 2012

Huree! Arusha sasa Jiji

Ndiyo, sasa Arusha imepata hadhi ya Jiji ni sawa kabisa na Dar Es Salaam,Mwanza,Tanga na Mbeya. Ukweli ni kwamba Arusha ina miundombinu mizuri ni jiji la kitalii na si uongo mzunguko wa fedha uko vizuri. (Picha na Livingstone Mwedipando wa ARI-Selian, Arusha)

No comments: