Friday, October 19, 2012

'Profate' yaanza mchakato wa ubia na serikali

Kampuni ya Usindikaji wa mazao yanayotokana na maziwa ijulikanayo kama Profate yenye makao makauu jijini Dar Es Salaam imeanza mkakati wa kushirikiana na serikali katika masuala ya kilimo. Moja ya wakurugenzi wa kampuni hiyo Bw. Prosper Temu akiwasilisha pendekezo kw wataalamu wanaoshughulikia mradi wa EAAPP walikutana mjini Morogoro hivi karibuni.

No comments: