Thursday, October 11, 2012

Nyanya bila kemikali

Wakulima hawa ni miongoni mwa wakulima wanaozalisha nyanya kwa mbinu za udhibiti husishi wa visumbufu wa mmea (IPM) katika kiji cha Nduruma, Halamashauri ya Wialaya ya Meru. Kwa kutumia nyanya zilizozalishwa kwa njia hii, walaji hawawezi kupata madhara yanayotokana na kemikali yanayotumiwa na wazalishaji wengine wa nyanya.Utafiti huo hufanywa na Kituo cha Utafiti wa Mboga na Matunda - HORTI-Tengeru, Arusha. (Picha na maelezo kutoka kwa Bw. Livingstone Mwedipando wa ARI-Selian, Arusha)

No comments: