Thursday, October 11, 2012

Pricilla Nalitolela

Mratibu wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS) mkoani ARUSHA Bi. Pricilla Nalitolela akiwa makini kuweka kumbukumbu za mwenendo wa semina ya viongozi wa dini mkoani Arusha katika mapambano dhidi ya UKIMWI iliyofanyika jiji Arusha hivi karibuni.(Picha na maelezo- Bw. Livingstone Mwedipando wa ARI-Selian, Arusha)

No comments: