Wednesday, October 31, 2012

Mkaa bidhaa ghali jijini Dar Es Salaam

Bei ya mkaa jijini Dar Es Salaam inazidi kupanda siku hadi siku. Kwa sasa gunia moja linauzwa kati shilingi 30,0000/= hadi 35,0000/=. Gunia kama hilo pichani huuzwa kati shilingi 13,000/= hadi 15,000/= barabara ya Chalinze-Segera

No comments: