Friday, October 12, 2012

Umwagiliaji maji shambani kwa matone

Umwagiliaji maji mashambani kwa teknolojia ya matone (drip irrigation) ni nzuri hasa kwa kilimo cha mboga mboga kwani kiasi cha maji kidogo hutumika kuzalisha mazao kwa kuupa uhakika mmea wa kupata maji wakati unapoyahitaji. Teknolojia hii husaidia kuzalisha mazao kwa faida. Wataalamu wa kilimo wa umwagiliaji wanaweza kukusaidia kukupa maelezo ya kina kuhusu teknolojia hii.Ulizia Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika- Barabara ya Mandela/Kilimo- Temeke Veterinary, Halmashauri za wilaya, na Ofisi za Umwagiliaji za Kanda.

No comments: