Friday, October 12, 2012

Hujuma TANESCO

Nguzo za TANESCO zilizoibwa na kufichwa huko Kigamboni jijini DAR. Hizi ni hujuma. Kwa maana hiyo kuna wateja wanauziwa nguzo kwa bei poa huku wateja waliotumia utaratibu wa kuvutiwa umeme wakisubiri kwa kuambiwa kuwa hakuna nguzo! (Picha kwa hisani ya Michuzi Blog tarehe 12/10/2012)

No comments: