Friday, October 12, 2012

Uzinduzi wa Power Tiller - Arumeru

Wakulima wa kijiji cha Nduruma katika halmashauri ya Meru wilayani Arumeru siku ya uzinduzi wa Power Tiller waliyoipta kwa mkopo kupitia Halmashauri yao kutokana na juhudi zao katika kikundi cha uzalishaji wa nyanya kwa kutumia mbinu za udhibiti husishi wa visumbufu wa mimea (IPM) (Picha kwa hisani ya Livingstone Mwedipando wa ARI-Selian, Arusha)

No comments: