Tuesday, October 9, 2012

Mahikwi chanzo cha maji kwa mifugo

Sehemu ambazo maji kuhna uhaba mkubwa wa maji, mifugo huathirika zaidi. Si rahisi mtu kunywesha mifugo yake huku yeye hana maji. Utafiti uliokwishafanywa wa kutumia mahikwi (pichani) umedhihirisha kuwa wanyama wanaweza kutumia maji kutokana na mahikwi hivyo kutatua tatizo la maji kwa mifugo.

No comments: