Friday, October 19, 2012

Wote tunashughulikia Kilimo

Pichani wanaoenekana baadhi ya madereva wa kilimo waliokuwa kwenye mkutano wa Mradi wa Kuongeza uzalishaji wa Kilimo kwa nchi za Afrika Mashariki (EAAPP) uliofanyika kuanzia tarehe 15-16/10/2012 mjini Morogoro. Aliyesimama wa kwanza kutoka kushoto ni Omari Shomari Kizito

No comments: