Tuesday, October 30, 2012

Mmea wa Lukina (Leucena)

Nafikiri wengi tumeshauona mmea huu pengine na kudharau. Mmea huu ni chakula cha mifugo yako kwani majani yake yana viinilishe muhimu vinavyohitajika kwa mifugo. Mbuzi wa maziwa akilishwa majani ya mmea huu hutoa maziwa mengi.(Picha na Livingstone Mwedipando ARI- Selian, Arusha)

No comments: