Tuesday, October 30, 2012

Wanachagua mbegu za maharage

Katika kuhakikisha mbegu ya maharage inakuwa katika hali ya usafi tayari kwa kupanda ni muhimu kuzichagua vizuri zinazofaa kuondoa uchafu, udongo, vijimawe, mchanga na takataka zote. Pichani wafanyakazi wa Idara ya maharage kutoka kituo cha Utafiti wa Kilimo Selian, Arusha wakichagua mbegu za maharage tayari kwa msimu ujao. (Picha na Livingstone Mwedipando, ARI-Selian, Arusha)

No comments: