Monday, October 8, 2012

Shoppers Plaza

Moja ya maduka makubwa jijini DAR linalopatikana sehemu za Mikocheni. Enzi za utoto wangu marehemu shangazi yangu alikuwa akilima mpunga kwenye bonde lilikoibuka -Shoppers Plaza ama kweli hakuna kisichowezekana!

No comments: