Thursday, July 17, 2014

Jembe la mkono ni lilelile

Katika kilimo jembe la mkono haliepukiki. Hili ni aina ya jembe la mkono linalotumiwa India hasa kaskazini  mashariki ya  nchi. Banzi wa Moro aliliona jembe hili katika jimbo la HARYANA. Mpini mfupi n jembe ni pana. Jembe la mkono ni lilelile. Hata hivyo India  hutumia sana  wanyama katika shughuli za utayarishaji shamba.

No comments: