Saturday, July 12, 2014

Tuliyoyaona Kituo cha Utunzaji wa Nasaba za Mimea India


 
 Tulipotembelea National Bureau of Plant Genetic Resource - India  aliye kushoto kwangu ni 'Kaka' yangu Prof. Bansal ( ndiye Banzi wa  Tz !) Mkurugenzi wa Centre.




Wajibu wa centre umewekwa wazi ili kila mtu afahamu


Tuzo ammbazo centre imepata kwa kazi nzuri

 Vituo vya utafiti vinavyohusika na utunzaji wa nasaba za mimea nchini India




Kumbukumbu ya Wakurugenzi waliongoza Centre ya Utunzaji wa nasaba. Wa sasa ni Banzi wa India huko anajulikana kama Dr.Bansal (sasa ni Professor). Ha! akina Banzi mpaka India hongera baba zetu Wambiki!
Wahindi wameweza kukusanya nasaba za mimea kutoka sehemu mbalimbali za dunia



   Angalia wenzetu wanakotaka kwenda na mikakati iliyopo.















No comments: