Saturday, July 12, 2014

Visumbufu vinafanana - tofauti ni mikakati ya kitafiti ya kutokomeza








Watafiti wa Kilimo India wameshafanya kazi ya kutosha kupata suluhisho la visumbufu vya mimea. Wadudu na magonjwa mengi yaliyopo India yapo pia nchini Tanzania. Wameshafanya kazi kubwa na visumbufu vya mpunga isipokuwa ugonjwa wa kirusi cha mpunga ujulikanao  'Rice Yellow Mottle Virus' au kule Ifakara maarufu wa jina la 'kimyanga.'  Hivyo kuna umuhimu wa kufanya kazi za pamoja na watafiti hawa ili kuweza kutoa majibu sahihi ya kuviangamiza visumbufu hivi vinavyosababisha uzalishaji mdogo na usiyo bora wa mazao yetu.

No comments: