Monday, December 24, 2012

Askari wa Mgambo aliyehitimu

Bwana Maulidi Pembe ni mmoja wa askari wa mgambo wa kijiji cha Kisemvule aliyehitimu mafunzo hayo tarehe 22/12/2012 akiwa na mkewe Nyangonga aliyefika kiwanjani kumpongeza.

No comments: