Monday, December 31, 2012

Arnold na Aneth Mdete walipokaribishwa Golden Tulip

Bw na Bibi Arnold Mdete waliandaliwa tafrija ya aina yake iliyoandaliwa kwenye hoteli ya Golden Tulip iliyopo Oysterbay, jijini Dar ndani ya hema! Fuatilia matukio kwenye reception hiyo ya tarehe 29/12/2012 ambayo Waluguru wameibatiza kuwa ni ya funga mwaka !
Huyu ndiye aliyekuwa supervisor!
Wazee wa Itifaki!
Meza ya wazee wa Kiluguru!
Meza ya akina baba Mkude!
Mzee Romanus Mdete akipokea keki kutoka kwa mkwewe Aneth
Nyama choma
Kinywaji maalum (punch)
Kilichofuata ni dance zilipigwa za Moro, bakurutu,taarab hadi Kwaito!
Mandhari ya Golden Tulip, Oysterbay, Dar Es Salaam, Tanzania.

No comments: