Thursday, December 20, 2012

Christopher Katongo wa Chipolopolo

Huyu ndiye Christopher Katongo captain wa timu ya Taifa ya soka ya Zambaia a.k.a Chipolopolo akihojiwa na waandishi wa habari maru tu baada ya kushuka kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere jana tarehe 19/12/2012. Zambia itacheza na Taifa Stars siku ya Jumamosi tarehe 22/12/2012 uwanja Taifa.

No comments: