Tuesday, December 4, 2012

Na meza yake na soda yake

Watoto wana tabia ya kuiga.Chochote wakifanyacho wakubwa na wao wangependa kufanya hivyo kama anavyoonekana uncle wangu Elvis G.Banzi akiwa na soda yake na meza yake baada ya kuwaona wageni waliowatembelea wametengewa soda na kuwekewa kwenye meza zao.

No comments: