Tuesday, December 18, 2012

Wanawake na Wanaume wachangia hoja Vikindu

Mabadiliko makubwa yanayoleta maendeleo katika mkoa wa Pwani yameanza kuonekana. Wanawake na wanaume wanashiriki kwa pamoja katika kuleta maendeleo. Katika mkutano wa wazazi na Bodi ya Shule ya Sekondari Vikindu ya Mkuranga, mkoa wa Pwani uliofanyika tarehe 24/12/2012 shuleni hapo,wazazi walichangia hoja chanya za kusaidia kuboresha elimu inayotolewa kwa watoto wao. Waliongelea kuhusu miundo mbinu ya shule, nidhamu na taaluma.
Wanawake kwa waume walichangia hoja.

No comments: