Friday, December 21, 2012

Ziara ya Mkuu wa Mkoa kituoni Selian

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Magessa Mulongo alipotembelea kituo cha Utafiti wa Kilimo Selian, Arusha ambacho ndicho makao makuu ya Kanda ya Kaskazini
Dkt Fridah Mgonja(Mwenye vazi rangi nyekundu) wa kituo cha Utafiti wa Kilimo Selian akitoa maelezo kwa Mkuu wa Mkoa Mhe. Magessa Mulongo (wa kwanza kulia). (Picha zote kwa hisani ya Bw. Livingstone Mwedipando wa ARI-Selian, Arusha).

No comments: