Monday, December 24, 2012

Moja mbili tatu moja mwili legeza!

Ndivyo walivyoimba wanamgambo wa Kisemvule wakati wa 'pass-out' yao iliyofanyika kwenye kiwanja cha shule ya Msingi Kisemvule.Hakika, moja, mbili tatu moja inani kumbusha wakati nilipokuwa JKT Ruvu kuhudhuria mafunzo ya kujenga taifa kwa mujibu wa sheria mwaka 1980!

No comments: