Friday, December 21, 2012

Selian KARIBU & KWAHERI!

Kituo cha Utafiti wa Kilimo cha Selian kilichopo mkoani Arusha kanda ya Kaskazini kina utamaduni mzuri wa kuwakaribisha wafanyakazi wapya na kuwaaga wale waliostaafu.Mkurugenzi wa Kanda wa Utafiti Dr. Lucas Mboyi Mugendi akiwapa mkono 'in style' angalia bahasha aliyoshika!
Karibuni Selian watafiti wapya.
Kwa heri Mr. Myovella gwiji la Karakana!
Kwaheri mama Juliana Luziga mahiri wa kumbukumbu za ofisi! (Picha zote kwa hisani ya Bw. Livingstone Mwedipando wa ARI-Selian, Arusha).

No comments: