Monday, December 31, 2012

Ubunifu-Zahanati ya Mimea

Mimea huugua kama binadamu kwani ni viumbe hai. Wataalamu wa kilimo kupitia Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika wakishirikiana na mradi wa 'Plantwise' wamebuni njia ya kuwasaidia wakulima kwa kuanzisha zahanati za mimea mashambani.

No comments: